Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Maboresho ya Kodi

Wasifu

CPA. David T. Tarimo
CPA. David T. Tarimo
Mjumbe

Ni mbobezi wa masuala ya Kodi kwa zaidi ya miaka 39. Amehudumu kama Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya PricewaterhouseCoopers (PwC) Tanzania, moja ya Kampuni Nne kubwa za Uhasibu na huduma za Kitaaluma  duniani.  Ameshiriki kwa kiwango kikubwa kushauri kuhusu uboreshaji wa mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini.  Aidha, ni mlezi wa vipaji na ubunifu.