Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Maboresho ya Kodi

Wasifu

Balozi Mwanaidi Maajar
Balozi Mwanaidi Maajar
Mjumbe

Ni Wakili wa masuala ya sheria na taratibu za biashara na uwekezaji. Ni mmoja wa waanzilishi wa kampuni ya mawakili REX Attorneys. Alikuwa Balozi  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uingereza na Marekani.  Ni Mwenyekiti Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kampuni nyingine binafsi na ni mmoja wa waanzilishi wa Chama cha Wanasheria Wanawake -TAWLA. Ana uzoefu wa zaidi ya miaka 40  katika sekta binafsi  na ya Umma.