Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Maboresho ya Kodi

Wasifu

Balozi Maimuna Tarishi
Balozi Maimuna Tarishi
Mjumbe

Ni Katibu Mkuu Mstaafu aliyebobea katika Utawala wa Umma na Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo. Mratibu wa Maboresho ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na Ugatuaji wa Madaraka kwa Umma (D by D). Amehudumu kama Katibu Mkuu katika Ofisi na  Wizara mbalimbali, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa  Geneva na Vienna.  Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Ana uzoefu wa  Utumishi wa Umma wa zaidi ya miaka 38.