Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Maboresho ya Kodi

Wasifu

Prof CPA Mussa J. Assad
Prof CPA Mussa J. Assad
Mjumbe

Ni Profesa Mshiriki wa Uhasibu na Ukaguzi na Makamu Mkuu wa Chuo Msaidizi katika Chuo Kikuu cha Waislamu  Morogoro.  Aliyehudumu kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, na Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi Nchini. Ana uzoefu wa Utumishi wa Umma na Binafsi kwa zaidi ya miaka 36.